1 Wakorintho 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiangamiza hekima ya watu wenye hekima,+ na akili ya watu wenye akili+ nitaitupa kando.”+ 1 Wakorintho 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upumbavu kwa Mungu;+ kwa maana imeandikwa: “Yeye huwakamata wenye hekima katika ujanja+ wao wenyewe.” 2 Timotheo 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 akiwafundisha kwa upole wale wasio na mwelekeo unaofaa;+ kwa kuwa huenda Mungu akawapa toba+ inayoongoza kwenye ujuzi sahihi juu ya kweli,+
19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiangamiza hekima ya watu wenye hekima,+ na akili ya watu wenye akili+ nitaitupa kando.”+
19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upumbavu kwa Mungu;+ kwa maana imeandikwa: “Yeye huwakamata wenye hekima katika ujanja+ wao wenyewe.”
25 akiwafundisha kwa upole wale wasio na mwelekeo unaofaa;+ kwa kuwa huenda Mungu akawapa toba+ inayoongoza kwenye ujuzi sahihi juu ya kweli,+