2 Wakorintho 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana silaha za vita vyetu si za kimwili,+ bali ni zenye nguvu kwa Mungu+ kwa ajili ya kupindua ngome zenye nguvu. Waefeso 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Vaeni mavazi kamili ya silaha+ kutoka kwa Mungu ili mweze kusimama imara kupinga hila+ za Ibilisi;
4 Kwa maana silaha za vita vyetu si za kimwili,+ bali ni zenye nguvu kwa Mungu+ kwa ajili ya kupindua ngome zenye nguvu.
11 Vaeni mavazi kamili ya silaha+ kutoka kwa Mungu ili mweze kusimama imara kupinga hila+ za Ibilisi;