Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Ndipo Yesu akamwambia: “Rudisha upanga wako mahali pake,+ kwa maana wale wote wanaouchukua upanga wataangamia kwa upanga.+

  • Waroma 13:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Usiku umesonga sana; mchana+ umekaribia. Kwa hiyo na tuyaondoe matendo ya giza+ na tuvae silaha+ za nuru.

  • Waefeso 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa sababu hiyo chukueni mavazi kamili ya silaha kutoka kwa Mungu,+ ili mweze kupinga katika ile siku ya uovu, baada ya ninyi kufanya mambo yote kwa ukamili, mweze kusimama imara.+

  • 1 Wathesalonike 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini kwa habari yetu sisi tulio wa mchana, na tutunze akili zetu na kuvaa bamba la kifuani+ la imani+ na upendo na lile tumaini la wokovu+ kama kofia ya chuma;+

  • 1 Timotheo 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Amri hii+ ninakupa wewe, mtoto, Timotheo, kwa kupatana na matabiri+ yaliyoongoza moja kwa moja mpaka kwako, ili kwa hayo uendelee kupigana vita vizuri;+

  • 2 Timotheo 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Lakini mtumwa wa Bwana hahitaji kupigana,+ bali anahitaji kuwa mpole kwa wote,+ mwenye sifa za kustahili kufundisha,+ akiendelea kujizuia chini ya uovu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki