Mwanzo 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu. Ufunuo 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ikiwa yeyote amekusudiwa kwenda utekwani, yeye huenda zake utekwani.+ Ikiwa yeyote ataua kwa upanga, yeye lazima atauawa kwa upanga.+ Hapa ndipo panapomaanisha uvumilivu+ na imani+ ya watakatifu.+
6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu.
10 Ikiwa yeyote amekusudiwa kwenda utekwani, yeye huenda zake utekwani.+ Ikiwa yeyote ataua kwa upanga, yeye lazima atauawa kwa upanga.+ Hapa ndipo panapomaanisha uvumilivu+ na imani+ ya watakatifu.+