Mathayo 24:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini yule ambaye atavumilia+ mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+ Waebrania 10:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa maana mnahitaji kuwa na uvumilivu,+ ili kwamba, baada ya kufanya mapenzi ya Mungu,+ mpokee utimizo wa ile ahadi.+ Waebrania 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa kweli, mfikirieni sana yeye ambaye amevumilia maneno ya aina hii yenye kupinga+ yanayotolewa na watenda-dhambi kinyume cha faida zao wenyewe, ili ninyi msichoke na kuzimia katika nafsi zenu.+
36 Kwa maana mnahitaji kuwa na uvumilivu,+ ili kwamba, baada ya kufanya mapenzi ya Mungu,+ mpokee utimizo wa ile ahadi.+
3 Kwa kweli, mfikirieni sana yeye ambaye amevumilia maneno ya aina hii yenye kupinga+ yanayotolewa na watenda-dhambi kinyume cha faida zao wenyewe, ili ninyi msichoke na kuzimia katika nafsi zenu.+