Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini watakatifu+ wa Aliye Mkuu Zaidi+ wataupokea ufalme, nao watamiliki ufalme+ huo mpaka wakati usio na kipimo, milele na milele.’

  • 1 Wakorintho 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Au je, hamjui kwamba watakatifu watauhukumu+ ulimwengu?+ Na ikiwa ninyi mtauhukumu ulimwengu, je, hamstahili kuamua mambo yaliyo madogo sana?+

  • Ufunuo 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mwenye furaha+ na mtakatifu+ ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka elfu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki