Danieli 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini watakatifu+ wa Aliye Mkuu Zaidi+ wataupokea ufalme, nao watamiliki ufalme+ huo mpaka wakati usio na kipimo, milele na milele.’ 1 Wakorintho 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Au je, hamjui kwamba watakatifu watauhukumu+ ulimwengu?+ Na ikiwa ninyi mtauhukumu ulimwengu, je, hamstahili kuamua mambo yaliyo madogo sana?+ Ufunuo 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mwenye furaha+ na mtakatifu+ ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka elfu.+
18 Lakini watakatifu+ wa Aliye Mkuu Zaidi+ wataupokea ufalme, nao watamiliki ufalme+ huo mpaka wakati usio na kipimo, milele na milele.’
2 Au je, hamjui kwamba watakatifu watauhukumu+ ulimwengu?+ Na ikiwa ninyi mtauhukumu ulimwengu, je, hamstahili kuamua mambo yaliyo madogo sana?+
6 Mwenye furaha+ na mtakatifu+ ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka elfu.+