Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 50:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 “Wakusanye kwangu washikamanifu wangu,+

      Wale wanaofanya agano langu juu ya dhabihu.”+

  • Zaburi 149:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Washikamanifu na washangilie katika utukufu;

      Na wapige vigelegele kwa shangwe vitandani mwao.+

  • 2 Timotheo 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 tukiendelea kuvumilia, tutatawala pamoja pia tukiwa wafalme;+ tukimkana,+ yeye pia atatukana sisi;

  • Ufunuo 3:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yeye atakayeshinda+ nitampa ruhusa ya kuketi pamoja nami katika kiti changu cha ufalme,+ kama vile nilivyoshinda na kuketi+ pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha ufalme.+

  • Ufunuo 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 nawe ukawafanya kuwa ufalme+ na makuhani+ kwa Mungu wetu,+ nao watatawala wakiwa wafalme+ juu ya dunia.”

  • Ufunuo 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ikiwa yeyote amekusudiwa kwenda utekwani, yeye huenda zake utekwani.+ Ikiwa yeyote ataua kwa upanga, yeye lazima atauawa kwa upanga.+ Hapa ndipo panapomaanisha uvumilivu+ na imani+ ya watakatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki