21 Yeye atakayeshinda+ nitampa ruhusa ya kuketi pamoja nami katika kiti changu cha ufalme,+ kama vile nilivyoshinda na kuketi+ pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha ufalme.+
10 Ikiwa yeyote amekusudiwa kwenda utekwani, yeye huenda zake utekwani.+ Ikiwa yeyote ataua kwa upanga, yeye lazima atauawa kwa upanga.+ Hapa ndipo panapomaanisha uvumilivu+ na imani+ ya watakatifu.+