Mathayo 10:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 lakini yeyote yule anayenikana mimi mbele ya watu, mimi pia nitamkana+ mbele za Baba yangu aliye mbinguni. Luka 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini yule anayenikana+ mbele ya wanadamu atakanwa mbele ya malaika za Mungu.+
33 lakini yeyote yule anayenikana mimi mbele ya watu, mimi pia nitamkana+ mbele za Baba yangu aliye mbinguni.