8 Basi Musa akaichukua damu na kuinyunyiza juu ya watu+ na kusema: “Tazama, hii ndiyo damu ya agano+ ambalo Yehova amefanya pamoja nanyi kuhusu maneno yote haya.”
20 Pia, kikombe+ vivyo hivyo baada ya wao kula mlo wa jioni, akasema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano+ jipya kwa msingi wa damu+ yangu, ambayo itamwagwa kwa ajili yenu.+