Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 31:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitafanya agano jipya+ pamoja na nyumba ya Israeli+ na nyumba ya Yuda;+

  • Yeremia 32:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Nami nitafanya pamoja nao agano linalodumu mpaka wakati usio na kipimo,+ kwamba mimi sitageuka kutoka nyuma yao, ili niwatendee mema;+ nami nitatia ndani ya moyo wao hali ya kuniogopa mimi ili wasigeuke kando kutoka kwangu.+

  • 2 Wakorintho 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 ambaye kwa kweli ametustahilisha vya kutosha kuwa wahudumu wa agano jipya,+ si wa sheria zilizoandikwa,+ bali wa roho;+ kwa maana sheria zilizoandikwa huleta hukumu+ ya kifo, bali roho hufanya kuwa hai.+

  • Waebrania 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 kwa kadiri hiyo pia Yesu amekuwa yule aliyetolewa kuwa rehani ya agano bora.+

  • Waebrania 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kwa maana yeye anawalaumu wale watu anaposema: “ ‘Tazama! Siku zinakuja,’ asema Yehova, ‘nami nitafanya agano jipya pamoja na nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki