Zaburi 50:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Wakusanye kwangu washikamanifu wangu,+Wale wanaofanya agano langu juu ya dhabihu.”+ Mathayo 26:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 kwa maana hii inamaanisha+ ‘damu+ yangu ya agano,’+ ambayo itamwagwa kwa ajili ya wengi+ kwa msamaha wa dhambi.+ Marko 14:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye akawaambia: “Hii inamaanisha ‘damu+ yangu ya agano,’+ ambayo itamwagwa+ kwa ajili ya wengi.+ Waebrania 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana kwa kweli yeye hawasaidii malaika hata kidogo, bali anasaidia uzao wa Abrahamu.+ Waebrania 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 je, si zaidi damu+ ya Kristo, ambaye kupitia roho inayodumu milele alijitoa+ mwenyewe bila dosari kwa Mungu, itazisafisha+ dhamiri zetu kutoka katika matendo yaliyokufa+ ili tutoe utumishi mtakatifu+ kwa Mungu aliye hai? 1 Petro 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Bali ilikuwa kwa damu yenye thamani,+ kama ile ya mwana-kondoo asiye na dosari na asiye na doa,+ ile ya Kristo.+
28 kwa maana hii inamaanisha+ ‘damu+ yangu ya agano,’+ ambayo itamwagwa kwa ajili ya wengi+ kwa msamaha wa dhambi.+
14 je, si zaidi damu+ ya Kristo, ambaye kupitia roho inayodumu milele alijitoa+ mwenyewe bila dosari kwa Mungu, itazisafisha+ dhamiri zetu kutoka katika matendo yaliyokufa+ ili tutoe utumishi mtakatifu+ kwa Mungu aliye hai?
19 Bali ilikuwa kwa damu yenye thamani,+ kama ile ya mwana-kondoo asiye na dosari na asiye na doa,+ ile ya Kristo.+