Yeremia 31:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitafanya agano jipya+ pamoja na nyumba ya Israeli+ na nyumba ya Yuda;+ Waebrania 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 kwa kadiri hiyo pia Yesu amekuwa yule aliyetolewa kuwa rehani ya agano bora.+ Waebrania 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi ndiyo sababu yeye ni mpatanishi+ wa agano jipya, ili, kwa sababu kifo kimetokea kwa ajili ya wao kuachiliwa huru kwa fidia+ kutoka kwenye makosa chini ya lile agano la zamani,+ wale ambao wameitwa waipokee ahadi ya urithi unaodumu milele.+
31 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitafanya agano jipya+ pamoja na nyumba ya Israeli+ na nyumba ya Yuda;+
15 Basi ndiyo sababu yeye ni mpatanishi+ wa agano jipya, ili, kwa sababu kifo kimetokea kwa ajili ya wao kuachiliwa huru kwa fidia+ kutoka kwenye makosa chini ya lile agano la zamani,+ wale ambao wameitwa waipokee ahadi ya urithi unaodumu milele.+