Mathayo 26:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 kwa maana hii inamaanisha+ ‘damu+ yangu ya agano,’+ ambayo itamwagwa kwa ajili ya wengi+ kwa msamaha wa dhambi.+ Luka 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Pia, kikombe+ vivyo hivyo baada ya wao kula mlo wa jioni, akasema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano+ jipya kwa msingi wa damu+ yangu, ambayo itamwagwa kwa ajili yenu.+
28 kwa maana hii inamaanisha+ ‘damu+ yangu ya agano,’+ ambayo itamwagwa kwa ajili ya wengi+ kwa msamaha wa dhambi.+
20 Pia, kikombe+ vivyo hivyo baada ya wao kula mlo wa jioni, akasema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano+ jipya kwa msingi wa damu+ yangu, ambayo itamwagwa kwa ajili yenu.+