Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu, akina ndugu, mtoe miili+ yenu iwe dhabihu+ iliyo hai,+ takatifu,+ yenye kukubalika kwa Mungu,+ utumishi mtakatifu+ pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+

  • Wafilipi 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana sisi ndio wenye tohara ya kweli,+ ambao tunatoa utumishi mtakatifu kwa njia ya roho+ ya Mungu nasi tunajisifu katika Kristo Yesu+ na hatuna uhakika wetu katika mwili,+

  • Waebrania 12:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa hiyo, kwa kuwa tutapokea ufalme ambao hauwezi kutikiswa,+ acheni tuendelee kuwa na fadhili zisizostahiliwa, ambazo kupitia hizo tunaweza kumtolea Mungu kwa njia inayokubalika utumishi mtakatifu kwa woga wa kimungu na heshima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki