Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nanyi mtatahiri govi la mioyo+ yenu wala msifanye shingo zenu kuwa ngumu tena.+

  • Yeremia 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tahiriweni kwa ajili ya Yehova, na kuondoa magovi ya mioyo yenu,+ ninyi watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu; ili ghadhabu yangu isitoke kama moto, na hakika iteketeze bila yeyote wa kuizima, kwa sababu ya ubaya wa matendo yenu.”+

  • Waroma 2:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Bali yeye ni Myahudi aliye hivyo kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, wala si kupitia sheria zilizoandikwa.+ Sifa+ ya mtu huyo hutoka, si kwa wanadamu, bali kwa Mungu.+

  • Wakolosai 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa uhusiano+ pamoja naye ninyi pia mlitahiriwa+ kwa tohara iliyofanywa bila mikono kwa kuuvua mwili wenye nyama,+ kwa tohara ambayo ni ya Kristo,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki