Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nanyi mtatahiri govi la mioyo+ yenu wala msifanye shingo zenu kuwa ngumu tena.+

  • Kumbukumbu la Torati 30:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na Yehova Mungu wako atautahiri moyo wako+ na moyo wa uzao wako,+ ili wewe umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote kwa ajili ya uhai wako.+

  • Yeremia 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 juu ya Misri+ na juu ya Yuda+ na juu ya Edomu+ na juu ya wana wa Amoni+ na juu ya Moabu+ na juu ya wote wenye nywele zilizokatwa kwenye vipaji vya nyuso wanaokaa nyikani;+ kwa maana mataifa yote hayakutahiriwa, na nyumba yote ya Israeli hawakutahiriwa moyoni.”+

  • Matendo 7:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+

  • Waroma 2:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Bali yeye ni Myahudi aliye hivyo kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, wala si kupitia sheria zilizoandikwa.+ Sifa+ ya mtu huyo hutoka, si kwa wanadamu, bali kwa Mungu.+

  • Wakolosai 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa uhusiano+ pamoja naye ninyi pia mlitahiriwa+ kwa tohara iliyofanywa bila mikono kwa kuuvua mwili wenye nyama,+ kwa tohara ambayo ni ya Kristo,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki