3 Nawe uzipeleke kwa mfalme wa Edomu+ na kwa mfalme wa Moabu+ na kwa mfalme wa wana wa Amoni+ na kwa mfalme wa Tiro+ na kwa mfalme wa Sidoni+ kwa mkono wa wajumbe wanaokuja Yerusalemu kwa Sedekia mfalme wa Yuda.
29 “‘Edomu,+ wafalme wake na wakuu wake wote wako huko, ambao, katika nguvu zao, waliwekwa pamoja na wale waliouawa kwa upanga;+ wao wenyewe watalala pamoja na watu ambao hawajatahiriwa+ na pamoja na wale wanaoshuka kuingia katika shimo.
Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi kuhusu Edomu:+ “Kuna habari ambayo tumesikia kutoka kwa Yehova, na kuna mjumbe ambaye ametumwa kati ya mataifa, ‘Simameni, na tusimame tupigane naye.’ ”+