Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ona aibu, Ee Sidoni;+ Ee ngome ya bahari, kwa sababu bahari imesema: “Sijapata uchungu wa kuzaa, nami sijazaa, wala sijalea vijana, wala kulea mabikira.”+

  • Yeremia 25:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 na wafalme wote wa Tiro+ na wafalme wote wa Sidoni+ na wafalme wa kisiwa kilicho katika eneo la bahari;

  • Ezekieli 28:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Mwana wa binadamu, elekeza uso wako Sidoni,+ na utoe unabii juu yake.

  • Yoeli 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Pia, mna nini nami, enyi Tiro na Sidoni+ pia nanyi maeneo ya Ufilisti?+ Je, hivyo ndivyo mnavyonitendea kwa kunipa thawabu? Na ikiwa mnanitendea hivyo, matendo yenu nitayalipa haraka, naam, upesi, juu ya vichwa vyenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki