Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 47:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa sababu ya siku ambayo inakuja kuwapora Wafilisti+ wote, kumkatilia mbali kutoka Tiro+ na kutoka Sidoni+ kila mwenye kuokoka aliyekuwa akisaidia.+ Kwa maana Yehova anawapora Wafilisti,+ ambao ni mabaki kutoka kisiwa cha Kaftori.+

  • Ezekieli 25:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu Wafilisti wametenda kwa kulipiza kisasi+ nao waliendelea kujilipizia kisasi wenyewe wakiwa na kisasi chenye dhihaka katika nafsi, ili kusababisha uharibifu,+ wakiwa na uadui unaodumu mpaka wakati usio na kipimo,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki