Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 28:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao Wafilisti+ wakavamia majiji ya Shefela+ na Negebu+ katika Yuda na kuteka Beth-shemeshi+ na Aiyaloni+ na Gederothi+ na Soko+ na miji yake ya kandokando na Timna+ na miji yake ya kandokando na Gimzo na miji yake ya kandokando; nao wakaanza kukaa humo.

  • Isaya 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Siria kutoka mashariki+ na Wafilisti kutoka nyuma,+ nao watamla Israeli kwa kinywa kilicho wazi.+ Kwa sababu ya hayo yote hasira yake haijarudi nyuma, bali mkono wake bado umenyooshwa.+

  • Yeremia 47:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Hili ndilo lililokuwa neno la Yehova kwa Yeremia nabii kuwahusu Wafilisti+ kabla ya Farao kupiga Gaza.+

  • Amosi 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya Gaza,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu walilipeleka uhamishoni kundi zima la wahamishwa+ ili kuwatia mkononi mwa Edomu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki