Hesabu 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa yule Mkanaani, mfalme wa Aradi,+ aliyekaa Negebu,+ akapata kusikia kwamba Israeli alikuwa amekuja kupitia njia ya Atharimu, naye akaanza kupigana na Israeli na kuchukua baadhi yao kuwa mateka. Kumbukumbu la Torati 34:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 na Negebu+ na Wilaya,+ nchi tambarare ya bonde la Yeriko, jiji la mitende,+ mpaka Soari.+ 2 Samweli 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo wakafika kwenye ngome ya Tiro+ na majiji yote ya Wahivi+ na ya Wakanaani, nao wakafika ncha ya mwisho katika Negebu+ ya Yuda kule Beer-sheba.+
21 Sasa yule Mkanaani, mfalme wa Aradi,+ aliyekaa Negebu,+ akapata kusikia kwamba Israeli alikuwa amekuja kupitia njia ya Atharimu, naye akaanza kupigana na Israeli na kuchukua baadhi yao kuwa mateka.
7 Ndipo wakafika kwenye ngome ya Tiro+ na majiji yote ya Wahivi+ na ya Wakanaani, nao wakafika ncha ya mwisho katika Negebu+ ya Yuda kule Beer-sheba.+