Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sasa yule Mkanaani, mfalme wa Aradi,+ aliyekaa Negebu,+ akapata kusikia kwamba Israeli alikuwa amekuja kupitia njia ya Atharimu, naye akaanza kupigana na Israeli na kuchukua baadhi yao kuwa mateka.

  • Kumbukumbu la Torati 34:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 na Negebu+ na Wilaya,+ nchi tambarare ya bonde la Yeriko, jiji la mitende,+ mpaka Soari.+

  • 2 Samweli 24:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo wakafika kwenye ngome ya Tiro+ na majiji yote ya Wahivi+ na ya Wakanaani, nao wakafika ncha ya mwisho katika Negebu+ ya Yuda kule Beer-sheba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki