Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 24
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Samweli 24:1

Marejeo

  • +2Sa 21:1
  • +1Nya 21:1; 27:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    5/15/2005, uku. 19

    7/15/1992, uku. 5

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 5/15 19

2 Samweli 24:2

Marejeo

  • +2Sa 8:16; 20:23
  • +Amu 20:1; 2Sa 3:10
  • +1Nya 21:2
  • +2Nya 32:25; Met 18:12; Yer 17:5

2 Samweli 24:3

Marejeo

  • +1Nya 21:3

2 Samweli 24:4

Marejeo

  • +1Nya 21:4; Mhu 8:4
  • +Hes 1:2

2 Samweli 24:5

Marejeo

  • +Kum 2:36; Yos 13:9
  • +Hes 32:34
  • +Hes 32:1, 35

2 Samweli 24:6

Marejeo

  • +Mwa 31:21; Hes 32:40
  • +Mwa 10:15; 49:13; Yos 11:8

2 Samweli 24:7

Marejeo

  • +Yos 19:29
  • +Yos 9:7; 11:19
  • +Yos 15:1
  • +Mwa 21:31; Yos 15:28

2 Samweli 24:9

Marejeo

  • +1Nya 21:5
  • +Hes 2:32; 26:51; 1Nya 27:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1992, uku. 5

2 Samweli 24:10

Marejeo

  • +1Sa 24:5; Mdo 2:37; Ro 2:15; 2Ko 7:10; 1Yo 3:20
  • +2Sa 12:13; 1Nya 21:8
  • +Zb 130:3; Ho. 14:2; 1Yo 1:9
  • +1Sa 13:13; Zb 107:17; Mhu 10:1

2 Samweli 24:11

Marejeo

  • +1Sa 22:5; 1Nya 21:9
  • +1Nya 29:29

2 Samweli 24:12

Marejeo

  • +1Nya 21:10
  • +Met 3:12

2 Samweli 24:13

Marejeo

  • +1Nya 21:11
  • +Law 26:20; Kum 28:23; 2Sa 21:1; 1Nya 21:12
  • +Law 26:17, 36; Kum 28:25
  • +Law 26:16, 25; Kum 28:22

2 Samweli 24:14

Marejeo

  • +1Nya 21:13; Ebr 12:6
  • +Ne 9:17; Zb 103:8; 119:156
  • +Amu 6:6; 2Nya 28:5; Isa 47:6

2 Samweli 24:15

Marejeo

  • +Hes 16:46; Kum 28:21; 1Nya 21:14; 27:24
  • +2Sa 24:2
  • +Kum 32:4; Ayu 34:12; Omb 3:22

2 Samweli 24:16

Marejeo

  • +1Nya 21:15
  • +Zb 78:38; Yer 26:19; Yoe 2:13
  • +2Nya 3:1
  • +Mwa 10:16; Yos 15:8; 2Sa 5:9

2 Samweli 24:17

Marejeo

  • +1Fa 22:17; Zb 44:11; 95:7
  • +Mwa 44:33; 1Nya 21:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    5/15/2005, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 5/15 19

2 Samweli 24:18

Marejeo

  • +1Nya 21:18; 2Nya 3:1

2 Samweli 24:19

Marejeo

  • +1Nya 21:19

2 Samweli 24:20

Marejeo

  • +Ru 2:10; 2Sa 9:8
  • +1Nya 21:21

2 Samweli 24:21

Marejeo

  • +1Nya 21:22
  • +Hes 16:47; 25:8; 2Sa 24:15

2 Samweli 24:22

Marejeo

  • +Mwa 23:11
  • +1Sa 6:14; 1Fa 19:21; 1Nya 21:23

2 Samweli 24:23

Marejeo

  • +Zb 20:3

2 Samweli 24:24

Marejeo

  • +Mwa 23:13
  • +1Nya 21:24
  • +1Nya 21:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    7/2022, uku. 7

2 Samweli 24:25

Marejeo

  • +Kut 20:25; 1Nya 21:26; 22:1
  • +2Sa 21:14; 1Nya 21:27; 2Nya 33:13; Isa 19:22

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Sam. 24:12Sa 21:1
2 Sam. 24:11Nya 21:1; 27:23
2 Sam. 24:22Sa 8:16; 20:23
2 Sam. 24:2Amu 20:1; 2Sa 3:10
2 Sam. 24:21Nya 21:2
2 Sam. 24:22Nya 32:25; Met 18:12; Yer 17:5
2 Sam. 24:31Nya 21:3
2 Sam. 24:41Nya 21:4; Mhu 8:4
2 Sam. 24:4Hes 1:2
2 Sam. 24:5Kum 2:36; Yos 13:9
2 Sam. 24:5Hes 32:34
2 Sam. 24:5Hes 32:1, 35
2 Sam. 24:6Mwa 31:21; Hes 32:40
2 Sam. 24:6Mwa 10:15; 49:13; Yos 11:8
2 Sam. 24:7Yos 19:29
2 Sam. 24:7Yos 9:7; 11:19
2 Sam. 24:7Yos 15:1
2 Sam. 24:7Mwa 21:31; Yos 15:28
2 Sam. 24:91Nya 21:5
2 Sam. 24:9Hes 2:32; 26:51; 1Nya 27:23
2 Sam. 24:101Sa 24:5; Mdo 2:37; Ro 2:15; 2Ko 7:10; 1Yo 3:20
2 Sam. 24:102Sa 12:13; 1Nya 21:8
2 Sam. 24:10Zb 130:3; Ho. 14:2; 1Yo 1:9
2 Sam. 24:101Sa 13:13; Zb 107:17; Mhu 10:1
2 Sam. 24:111Sa 22:5; 1Nya 21:9
2 Sam. 24:111Nya 29:29
2 Sam. 24:121Nya 21:10
2 Sam. 24:12Met 3:12
2 Sam. 24:131Nya 21:11
2 Sam. 24:13Law 26:20; Kum 28:23; 2Sa 21:1; 1Nya 21:12
2 Sam. 24:13Law 26:17, 36; Kum 28:25
2 Sam. 24:13Law 26:16, 25; Kum 28:22
2 Sam. 24:141Nya 21:13; Ebr 12:6
2 Sam. 24:14Ne 9:17; Zb 103:8; 119:156
2 Sam. 24:14Amu 6:6; 2Nya 28:5; Isa 47:6
2 Sam. 24:15Hes 16:46; Kum 28:21; 1Nya 21:14; 27:24
2 Sam. 24:152Sa 24:2
2 Sam. 24:15Kum 32:4; Ayu 34:12; Omb 3:22
2 Sam. 24:161Nya 21:15
2 Sam. 24:16Zb 78:38; Yer 26:19; Yoe 2:13
2 Sam. 24:162Nya 3:1
2 Sam. 24:16Mwa 10:16; Yos 15:8; 2Sa 5:9
2 Sam. 24:171Fa 22:17; Zb 44:11; 95:7
2 Sam. 24:17Mwa 44:33; 1Nya 21:17
2 Sam. 24:181Nya 21:18; 2Nya 3:1
2 Sam. 24:191Nya 21:19
2 Sam. 24:20Ru 2:10; 2Sa 9:8
2 Sam. 24:201Nya 21:21
2 Sam. 24:211Nya 21:22
2 Sam. 24:21Hes 16:47; 25:8; 2Sa 24:15
2 Sam. 24:22Mwa 23:11
2 Sam. 24:221Sa 6:14; 1Fa 19:21; 1Nya 21:23
2 Sam. 24:23Zb 20:3
2 Sam. 24:24Mwa 23:13
2 Sam. 24:241Nya 21:24
2 Sam. 24:241Nya 21:25
2 Sam. 24:25Kut 20:25; 1Nya 21:26; 22:1
2 Sam. 24:252Sa 21:14; 1Nya 21:27; 2Nya 33:13; Isa 19:22
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Samweli 24:1-25

2 Samweli

24 Tena+ hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli, wakati mtu fulani alipomchochea Daudi juu yao, akisema: “Nenda, uhesabu+ Israeli na Yuda.” 2 Basi mfalme akamwambia Yoabu,+ mkuu wa majeshi aliyekuwa pamoja naye: “Tafadhali, tembea katika makabila yote ya Israeli, kutoka Dani mpaka Beer-sheba,+ nanyi mwandikishe watu,+ nami kwa hakika nitaijua hesabu ya watu.”+ 3 Lakini Yoabu akamwambia mfalme: “Yehova Mungu wako na aongeze watu wawe wengi mara mia kuliko walivyo wakati macho ya bwana wangu mfalme yanapoliona jambo hilo. Hata hivyo, kwa nini bwana wangu mfalme amependezwa na jambo hili?”+

4 Mwishowe neno la mfalme likamshinda+ Yoabu na wakuu wa majeshi. Basi Yoabu na wakuu wa majeshi wakatoka mbele ya mfalme, wakaenda kuwaandikisha+ watu wa Israeli. 5 Ndipo wakavuka Yordani, wakapiga kambi katika Aroeri+ upande wa kuume wa jiji lililoko katikati ya bonde la mto, kuelekea Wagadi,+ na kwenda Yazeri.+ 6 Kisha wakafika mpaka Gileadi+ na nchi ya Tahtim-hodshi, wakaendelea mpaka Dani-yaani nao wakazunguka mpaka Sidoni.+ 7 Ndipo wakafika kwenye ngome ya Tiro+ na majiji yote ya Wahivi+ na ya Wakanaani, nao wakafika ncha ya mwisho katika Negebu+ ya Yuda kule Beer-sheba.+ 8 Kwa hiyo wakaenda wakizunguka katika nchi yote, nao wakaja Yerusalemu mwisho wa miezi 9 na siku 20. 9 Kisha Yoabu akampa mfalme hesabu ya watu walioandikishwa;+ na Israeli wakawa jumla ya wanaume mashujaa mia nane elfu wenye kutumia upanga, na wanaume wa Yuda wakawa mia tano elfu.+

10 Na moyo wa Daudi ukaanza kumpiga+ baada ya kuwahesabu watu. Basi Daudi akamwambia Yehova: “Nimetenda dhambi+ sana kwa lile ambalo nimefanya. Na sasa, Yehova, tafadhali acha kosa la mtumishi wako lipitilie mbali;+ kwa maana nimetenda kwa upumbavu sana.”+ 11 Wakati Daudi alipoamka asubuhi, neno la Yehova likamjia Gadi+ nabii, mwonaji+ wa Daudi, na kusema: 12 “Nenda, umwambie Daudi, ‘Yehova amesema hivi: “Ninakuwekea mambo matatu.+ Jichagulie mwenyewe moja kati ya hayo ili nikutendee hilo.”’”+ 13 Basi Gadi akaingia kwa Daudi, akamwambia:+ “Je, njaa ikujie katika nchi yako kwa miaka saba,+ au miezi mitatu ya wewe kukimbia mbele ya adui zako,+ wakikufuatilia, au kuwe na siku tatu za tauni katika nchi yako?+ Sasa ujue na uone jibu nitakalompelekea Yeye aliyenituma.” 14 Kwa hiyo Daudi akamwambia Gadi: “Ni jambo lenye kunitaabisha sana. Tafadhali, acha tuanguke mkononi mwa Yehova,+ kwa maana rehema zake ni nyingi;+ lakini usiniache nianguke mkononi mwa mwanadamu.”+

15 Ndipo Yehova akaleta tauni+ katika Israeli kuanzia asubuhi mpaka wakati uliowekwa, hivi kwamba kati ya watu kutoka Dani mpaka Beer-sheba+ watu 70,000 wakafa.+ 16 Na malaika+ akaendelea kunyoosha mkono wake kuelekea Yerusalemu ili kuliangamiza; na Yehova akaanza kujuta+ kuhusu msiba ule, na kwa hiyo akamwambia yule malaika aliyekuwa akiwaangamiza watu: “Imetosha! Sasa angusha mkono wako.” Na yule malaika wa Yehova alikuwa karibu na uwanja wa kupuria wa Arauna+ Myebusi.+

17 Na Daudi akamwambia Yehova, wakati alipomwona yule malaika aliyekuwa akiwapiga na kuwaua watu, ndiyo, akasema: “Tazama, mimi ndiye niliyetenda dhambi, nami ndiye niliyefanya kosa; lakini kondoo+ hawa—wamefanya nini? Tafadhali, acha mkono wako uje juu yangu+ na juu ya nyumba ya baba yangu.”

18 Baadaye Gadi akaingia kwa Daudi siku hiyo na kumwambia: “Nenda, umsimamishie Yehova madhabahu kwenye uwanja wa kupuria wa Arauna Myebusi.”+ 19 Na Daudi akaanza kupanda, kulingana na neno la Gadi, kulingana na alivyoamuru Yehova.+ 20 Wakati Arauna alipotazama chini, akamwona mfalme na watumishi wake wakimjia, mara moja Arauna akatoka nje, akamwinamia+ mfalme kifudifudi.+ 21 Kisha Arauna akasema: “Kwa nini bwana wangu mfalme amekuja kwa mtumishi wake?” Ndipo Daudi akasema: “Ili kununua+ kutoka kwako uwanja wa kupuria kwa ajili ya kumjengea Yehova madhabahu, ili tauni+ ikomeshwe juu ya watu.” 22 Lakini Arauna akamwambia Daudi: “Acha bwana wangu mfalme auchukue+ na afanye toleo la kilicho chema machoni pake. Tazama, ng’ombe ni hawa kwa ajili ya toleo la kuteketezwa na chombo cha kupuria na vifaa vya ng’ombe kwa ajili ya kuni.+ 23 Ee mfalme, Arauna anampa mfalme kila kitu.” Na Arauna akaendelea kumwambia mfalme: “Yehova Mungu wako na akufurahie.”+

24 Hata hivyo, mfalme akamwambia Arauna: “Hapana, bali bila shaka nitaununua kutoka kwako kwa bei fulani;+ nami sitamtolea Yehova Mungu wangu matoleo ya kuteketezwa bila gharama.”+ Basi Daudi akaununua+ ule uwanja wa kupuria na wale ng’ombe kwa shekeli 50 za fedha. 25 Na Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, na Yehova akakubali kusihiwa+ kwa ajili ya nchi, hivi kwamba ile tauni ikakomeshwa juu ya Israeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki