2 Samweli 24:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kisha Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ mahali hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika. Ndipo Yehova akakubali maombi ya kusihi yaliyotolewa kwa ajili ya nchi,+ na ugonjwa hatari uliowakumba Waisraeli ukakomeshwa.
25 Kisha Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ mahali hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika. Ndipo Yehova akakubali maombi ya kusihi yaliyotolewa kwa ajili ya nchi,+ na ugonjwa hatari uliowakumba Waisraeli ukakomeshwa.