14 Kisha wakaizika mifupa ya Sauli na Yonathani mwana wake katika nchi ya Benjamini kule Sela+ katika kaburi la Kishi+ baba yake. Baada ya kufanya kila jambo ambalo mfalme alikuwa ameamuru, Mungu akasikiliza maombi yao ya kumsihi kuhusu nchi.+
13 Aliendelea kusali kwa Mungu, naye akaguswa na sala yake ya kusihi, akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake.+ Ndipo Manase akajua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+