Kutoka 20:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ikiwa mtanijengea madhabahu ya mawe, msiijenge kwa mawe yaliyokatwa kwa vifaa.*+ Kwa maana mkiyachonga kwa tindo, mtaitia madhabahu hiyo unajisi. 1 Mambo ya Nyakati 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo Daudi akasema: “Hii ndiyo nyumba ya Yehova Mungu wa kweli, na hii ndiyo madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa kwa ajili ya Waisraeli.”+
25 Ikiwa mtanijengea madhabahu ya mawe, msiijenge kwa mawe yaliyokatwa kwa vifaa.*+ Kwa maana mkiyachonga kwa tindo, mtaitia madhabahu hiyo unajisi.
22 Ndipo Daudi akasema: “Hii ndiyo nyumba ya Yehova Mungu wa kweli, na hii ndiyo madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa kwa ajili ya Waisraeli.”+