1 Mambo ya Nyakati 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata hivyo, Mfalme Daudi akamwambia Ornani: “Hapana, bali bila shaka nitaununua kwa pesa kamili,+ kwa sababu sitachukua kilicho chako nimpe Yehova ili kutoa matoleo ya kuteketezwa bila gharama.”
24 Hata hivyo, Mfalme Daudi akamwambia Ornani: “Hapana, bali bila shaka nitaununua kwa pesa kamili,+ kwa sababu sitachukua kilicho chako nimpe Yehova ili kutoa matoleo ya kuteketezwa bila gharama.”