Mwanzo 23:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 na kuongea na Efroni masikioni mwa hao wenyeji, akisema: “Laiti wewe—hapana, nisikilize! Mimi nitakupa kiwango cha fedha kwa ajili ya shamba hilo. Kichukue kutoka kwangu,+ ili nipate kumzika mfu wangu hapo.”
13 na kuongea na Efroni masikioni mwa hao wenyeji, akisema: “Laiti wewe—hapana, nisikilize! Mimi nitakupa kiwango cha fedha kwa ajili ya shamba hilo. Kichukue kutoka kwangu,+ ili nipate kumzika mfu wangu hapo.”