Mwanzo 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 kwamba, wala uzi wala kamba ya kiatu, sitachukua kitu kutoka kwa chochote kilicho chako,+ usije ukasema, ‘Ni mimi niliyemtajirisha Abramu.’ Waroma 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Msiwe na deni la hata jambo moja la mtu yeyote,+ isipokuwa kupendana;+ kwa maana yeye anayempenda mwanadamu mwenzake ameitimiza sheria.+
23 kwamba, wala uzi wala kamba ya kiatu, sitachukua kitu kutoka kwa chochote kilicho chako,+ usije ukasema, ‘Ni mimi niliyemtajirisha Abramu.’
8 Msiwe na deni la hata jambo moja la mtu yeyote,+ isipokuwa kupendana;+ kwa maana yeye anayempenda mwanadamu mwenzake ameitimiza sheria.+