Wagalatia 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Sheria nzima hupata utimizo+ katika neno moja, yaani: “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”+ Yakobo 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi, mkizoea kufanya sheria ya kifalme+ kulingana na andiko: “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe,”+ mnafanya vema kabisa.
14 Kwa maana Sheria nzima hupata utimizo+ katika neno moja, yaani: “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”+
8 Basi, mkizoea kufanya sheria ya kifalme+ kulingana na andiko: “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe,”+ mnafanya vema kabisa.