Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.

  • Mathayo 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Kwa hiyo, mambo yote mnayotaka watu wawatendee ninyi,+ lazima mwatendee wao pia vivyo hivyo; hii, kwa kweli, ndiyo maana ya Sheria na Manabii.+

  • Mathayo 22:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Ya pili, kama hiyo, ni hii, ‘Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.’+

  • Yakobo 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi, mkizoea kufanya sheria ya kifalme+ kulingana na andiko: “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe,”+ mnafanya vema kabisa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki