Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.

  • Marko 12:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Ya pili ni hii, ‘Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.’+ Hakuna amri nyingine yoyote iliyo kubwa zaidi kuliko hizi.”

  • Luka 10:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Akajibu, akasema: “ ‘Lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa nguvu zako zote na kwa akili+ yako yote,’ na, ‘jirani yako kama wewe mwenyewe.’ ”+

  • Wakolosai 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini, zaidi ya mambo haya yote, jivikeni upendo,+ kwa maana huo ni kifungo kikamilifu+ cha muungano.

  • Yakobo 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi, mkizoea kufanya sheria ya kifalme+ kulingana na andiko: “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe,”+ mnafanya vema kabisa.

  • 1 Petro 1:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Sasa kwa kuwa mmezitakasa+ nafsi zenu kwa kuwa watiifu kwa ile kweli tokeo likiwa ni upendo wa kindugu usio na unafiki,+ pendaneni sana kutoka moyoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki