12 “Na sasa, Ee Israeli, Yehova Mungu wako anataka nini kutoka kwako+ ila kumwogopa+ Yehova Mungu wako, ili kutembea katika njia zake zote+ na kumpenda+ yeye na kumtumikia Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote;+
22 “Kwa maana ikiwa mtaishika kabisa amri yote hii+ ninayowaamuru ninyi ili kuifanya, kumpenda Yehova Mungu wenu,+ kutembea katika njia zake+ na kushikamana naye,+
5 Ila tu muwe waangalifu sana katika kutimiza amri+ na sheria ambazo Musa mtumishi wa Yehova aliwaamuru ninyi, kwa kumpenda Yehova Mungu wenu+ na kwa kutembea katika njia zake zote+ na kwa kushika amri zake+ na kwa kushikamana naye+ na kwa kumtumikia+ kwa moyo wenu wote+ na kwa nafsi yenu yote.”+