Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Katika njia yote ambayo Yehova Mungu wenu amewaamuru ninyi, mnapaswa kutembea,+ ili mpate kuishi na ili mambo yawaendee ninyi vema+ nanyi mpate kurefusha siku zenu katika nchi mtakayoimiliki.

  • Yoshua 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ila tu muwe waangalifu sana katika kutimiza amri+ na sheria ambazo Musa mtumishi wa Yehova aliwaamuru ninyi, kwa kumpenda Yehova Mungu wenu+ na kwa kutembea katika njia zake zote+ na kwa kushika amri zake+ na kwa kushikamana naye+ na kwa kumtumikia+ kwa moyo wenu wote+ na kwa nafsi yenu yote.”+

  • Ezekieli 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ili watembee katika sheria zangu na kushika maamuzi yangu ya hukumu na kuyatenda;+ na ili wawe watu wangu kwelikweli+ na ili mimi mwenyewe niwe Mungu wao.” ’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki