5Na Musa akaita Israeli+ wote na kuwaambia: “Sikia, Ee Israeli, masharti na maamuzi ya hukumu+ ambayo ninasema masikioni mwenu leo, nanyi mjifunze hayo na kuwa waangalifu kuyatenda.+
8 Nami sitafanya tena mguu wa Israeli utoke katika nchi niliyowapa mababu zao,+ mradi tu wawe waangalifu kufanya kulingana na yote ambayo nimewaamuru,+ naam, kuhusiana na sheria yote ambayo mtumishi wangu Musa aliwaamuru.”