2 Wafalme 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nami sitaifanya tena miguu ya Waisraeli itangetange kutoka katika nchi niliyowapa mababu zao+ ikiwa watashika kwa uangalifu mambo yote niliyowaamuru,+ Sheria yote ambayo Musa mtumishi wangu aliwaagiza wafuate.”
8 Nami sitaifanya tena miguu ya Waisraeli itangetange kutoka katika nchi niliyowapa mababu zao+ ikiwa watashika kwa uangalifu mambo yote niliyowaamuru,+ Sheria yote ambayo Musa mtumishi wangu aliwaagiza wafuate.”