9 Nami hakika nitachagua mahali kwa ajili ya watu wangu Israeli na kuwapanda,+ nao hakika watakaa mahali walipo, nao hawatasumbuliwa tena; na wana wa ukosefu wa uadilifu+ hawatawachosha tena kama walivyofanya hapo mwanzoni,+
8 Nami sitauondoa mguu wa Israeli tena utoke katika nchi niliyowagawia+ mababu zao,+ mradi tu wawe waangalifu kufanya yote ambayo nimewaamuru+ kuhusiana na sheria+ yote na masharti+ na maamuzi ya hukumu+ kupitia mkono wa Musa.”+