2 Mambo ya Nyakati 33:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ikiwa Waisraeli watashika kwa uangalifu mambo yote niliyowaamuru, Sheria yote, masharti na amri nilizowapa* kupitia Musa mtumishi wangu, sitaiondoa tena kamwe miguu yao katika nchi niliyowapa mababu zao.”
8 Ikiwa Waisraeli watashika kwa uangalifu mambo yote niliyowaamuru, Sheria yote, masharti na amri nilizowapa* kupitia Musa mtumishi wangu, sitaiondoa tena kamwe miguu yao katika nchi niliyowapa mababu zao.”