Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 17
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 17:1

Marejeo

  • +2Sa 7:1
  • +1Fa 1:8; 1Nya 29:29
  • +1Nya 14:1
  • +Ebr 9:4
  • +2Sa 7:2; 1Nya 15:1; 2Nya 1:4

1 Mambo ya Nyakati 17:2

Marejeo

  • +1Nya 22:7
  • +2Sa 7:3

1 Mambo ya Nyakati 17:3

Marejeo

  • +Hes 12:6

1 Mambo ya Nyakati 17:4

Marejeo

  • +2Sa 7:5; 1Fa 8:19; 1Nya 22:8

1 Mambo ya Nyakati 17:5

Marejeo

  • +2Sa 7:6
  • +Hes 4:25; Zb 78:60
  • +Kut 40:2; 2Sa 6:17

1 Mambo ya Nyakati 17:6

Marejeo

  • +Law 26:12
  • +2Sa 7:7

1 Mambo ya Nyakati 17:7

Marejeo

  • +1Sa 16:12; 17:15; Zb 78:70
  • +1Sa 25:30; 2Sa 6:21

1 Mambo ya Nyakati 17:8

Marejeo

  • +1Sa 18:14; 2Sa 8:6
  • +1Sa 25:29; 26:10
  • +Mwa 12:2; 1Sa 18:30; Zb 75:7; Lu 1:52
  • +2Sa 7:9

1 Mambo ya Nyakati 17:9

Marejeo

  • +Zb 44:2; Isa 61:3
  • +Zb 89:22
  • +Kut 2:23; 2Sa 7:10

1 Mambo ya Nyakati 17:10

Marejeo

  • +Amu 2:16
  • +Zb 18:40
  • +2Sa 7:11; Zb 127:1

1 Mambo ya Nyakati 17:11

Marejeo

  • +1Fa 2:10; Mdo 2:29
  • +1Fa 8:20; Zb 132:11
  • +1Fa 9:5; 1Nya 28:5; Yer 23:5

1 Mambo ya Nyakati 17:12

Marejeo

  • +1Fa 5:5; 1Nya 22:10
  • +Zb 89:4; Isa 9:7; Da 2:44

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ulimwengu Usio na Vita, kur. 12-13

1 Mambo ya Nyakati 17:13

Marejeo

  • +2Sa 7:14; Zb 89:26; Ebr 1:5
  • +Zb 2:7; Lu 9:35
  • +2Sa 7:15; Isa 55:3
  • +1Sa 15:28; 1Nya 10:14

1 Mambo ya Nyakati 17:14

Marejeo

  • +2Sa 7:16; Lu 1:33
  • +Zb 2:6; Da 2:44; Yoh 1:49; 2Pe 1:11
  • +Zb 89:36; Yer 33:21; Lu 1:32; Ebr 1:8; Ufu 3:21

1 Mambo ya Nyakati 17:15

Marejeo

  • +2Sa 7:17

1 Mambo ya Nyakati 17:16

Marejeo

  • +2Sa 7:18
  • +Mwa 32:10
  • +1Sa 9:21
  • +2Sa 7:8

1 Mambo ya Nyakati 17:17

Marejeo

  • +2Sa 7:19
  • +Efe 3:20
  • +Mt 22:42; Mdo 13:34; Ufu 22:16
  • +1Sa 2:8; Zb 89:19

1 Mambo ya Nyakati 17:18

Marejeo

  • +1Sa 2:30; 2Sa 7:20
  • +Zb 139:1; Met 15:11; Ebr 4:13

1 Mambo ya Nyakati 17:19

Marejeo

  • +2Sa 7:21; Zb 135:6
  • +Amo 3:7

1 Mambo ya Nyakati 17:20

Marejeo

  • +Kut 15:11; Kum 3:24; Zb 86:8
  • +Kum 4:35; 1Sa 2:2; Isa 43:10

1 Mambo ya Nyakati 17:21

Marejeo

  • +Kum 4:7; 33:28; Zb 147:20
  • +Kut 19:5; Zb 77:15; Tit 2:14
  • +Kum 4:34; Ne 9:10; Isa 63:12; Eze 20:9
  • +Kum 7:1; Yos 10:42; 21:44; 24:12; Zb 44:2

1 Mambo ya Nyakati 17:22

Marejeo

  • +Kum 7:6; 26:18; 1Sa 12:22
  • +Mwa 17:7; Kum 7:9; Yer 31:33

1 Mambo ya Nyakati 17:24

Marejeo

  • +2Nya 6:33; Zb 72:19; Mt 6:9
  • +Zb 99:3; Yoh 12:28
  • +1Sa 1:11
  • +Zb 33:12
  • +Yer 31:1; Ebr 11:16
  • +Zb 89:36

1 Mambo ya Nyakati 17:25

Marejeo

  • +2Sa 7:27

1 Mambo ya Nyakati 17:26

Marejeo

  • +Mwa 5:22
  • +2Sa 7:28

1 Mambo ya Nyakati 17:27

Marejeo

  • +2Sa 7:29
  • +Met 10:6

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 17:12Sa 7:1
1 Nya. 17:11Fa 1:8; 1Nya 29:29
1 Nya. 17:11Nya 14:1
1 Nya. 17:1Ebr 9:4
1 Nya. 17:12Sa 7:2; 1Nya 15:1; 2Nya 1:4
1 Nya. 17:21Nya 22:7
1 Nya. 17:22Sa 7:3
1 Nya. 17:3Hes 12:6
1 Nya. 17:42Sa 7:5; 1Fa 8:19; 1Nya 22:8
1 Nya. 17:52Sa 7:6
1 Nya. 17:5Hes 4:25; Zb 78:60
1 Nya. 17:5Kut 40:2; 2Sa 6:17
1 Nya. 17:6Law 26:12
1 Nya. 17:62Sa 7:7
1 Nya. 17:71Sa 16:12; 17:15; Zb 78:70
1 Nya. 17:71Sa 25:30; 2Sa 6:21
1 Nya. 17:81Sa 18:14; 2Sa 8:6
1 Nya. 17:81Sa 25:29; 26:10
1 Nya. 17:8Mwa 12:2; 1Sa 18:30; Zb 75:7; Lu 1:52
1 Nya. 17:82Sa 7:9
1 Nya. 17:9Zb 44:2; Isa 61:3
1 Nya. 17:9Zb 89:22
1 Nya. 17:9Kut 2:23; 2Sa 7:10
1 Nya. 17:10Amu 2:16
1 Nya. 17:10Zb 18:40
1 Nya. 17:102Sa 7:11; Zb 127:1
1 Nya. 17:111Fa 2:10; Mdo 2:29
1 Nya. 17:111Fa 8:20; Zb 132:11
1 Nya. 17:111Fa 9:5; 1Nya 28:5; Yer 23:5
1 Nya. 17:121Fa 5:5; 1Nya 22:10
1 Nya. 17:12Zb 89:4; Isa 9:7; Da 2:44
1 Nya. 17:132Sa 7:14; Zb 89:26; Ebr 1:5
1 Nya. 17:13Zb 2:7; Lu 9:35
1 Nya. 17:132Sa 7:15; Isa 55:3
1 Nya. 17:131Sa 15:28; 1Nya 10:14
1 Nya. 17:142Sa 7:16; Lu 1:33
1 Nya. 17:14Zb 2:6; Da 2:44; Yoh 1:49; 2Pe 1:11
1 Nya. 17:14Zb 89:36; Yer 33:21; Lu 1:32; Ebr 1:8; Ufu 3:21
1 Nya. 17:152Sa 7:17
1 Nya. 17:162Sa 7:18
1 Nya. 17:16Mwa 32:10
1 Nya. 17:161Sa 9:21
1 Nya. 17:162Sa 7:8
1 Nya. 17:172Sa 7:19
1 Nya. 17:17Efe 3:20
1 Nya. 17:17Mt 22:42; Mdo 13:34; Ufu 22:16
1 Nya. 17:171Sa 2:8; Zb 89:19
1 Nya. 17:181Sa 2:30; 2Sa 7:20
1 Nya. 17:18Zb 139:1; Met 15:11; Ebr 4:13
1 Nya. 17:192Sa 7:21; Zb 135:6
1 Nya. 17:19Amo 3:7
1 Nya. 17:20Kut 15:11; Kum 3:24; Zb 86:8
1 Nya. 17:20Kum 4:35; 1Sa 2:2; Isa 43:10
1 Nya. 17:21Kum 4:7; 33:28; Zb 147:20
1 Nya. 17:21Kut 19:5; Zb 77:15; Tit 2:14
1 Nya. 17:21Kum 4:34; Ne 9:10; Isa 63:12; Eze 20:9
1 Nya. 17:21Kum 7:1; Yos 10:42; 21:44; 24:12; Zb 44:2
1 Nya. 17:22Kum 7:6; 26:18; 1Sa 12:22
1 Nya. 17:22Mwa 17:7; Kum 7:9; Yer 31:33
1 Nya. 17:242Nya 6:33; Zb 72:19; Mt 6:9
1 Nya. 17:24Zb 99:3; Yoh 12:28
1 Nya. 17:241Sa 1:11
1 Nya. 17:24Zb 33:12
1 Nya. 17:24Yer 31:1; Ebr 11:16
1 Nya. 17:24Zb 89:36
1 Nya. 17:252Sa 7:27
1 Nya. 17:26Mwa 5:22
1 Nya. 17:262Sa 7:28
1 Nya. 17:272Sa 7:29
1 Nya. 17:27Met 10:6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 17:1-27

1 Mambo ya Nyakati

17 Na ikawa kwamba mara tu Daudi alipoanza kukaa katika nyumba yake mwenyewe,+ Daudi akamwambia Nathani+ nabii: “Tazama, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi,+ lakini sanduku+ la agano la Yehova linakaa ndani ya vitambaa vya mahema.”+ 2 Basi Nathani akamwambia Daudi: “Kila jambo lililo moyoni mwako lifanye,+ kwa kuwa Mungu wa kweli yupo pamoja nawe.”+

3 Na ikawa kwamba usiku huo neno+ la Mungu likamjia Nathani, likisema: 4 “Nenda, ukamwambie Daudi mtumishi wangu, ‘Yehova amesema hivi: “Si wewe utakayenijengea mimi nyumba ya kukaa.+ 5 Kwa maana sijakaa katika nyumba tangu siku nilipowapandisha Israeli mpaka leo hii,+ bali nilikaa hema kwa hema na kutoka maskani+ moja mpaka nyingine.+ 6 Wakati wote ambao nilitembea+ katika Israeli yote, je, nilisema hata neno moja na mmoja wa waamuzi wa Israeli ambao niliamuru wawachunge watu wangu, nikisema, ‘Kwa nini hamjanijengea nyumba ya mierezi?’”’+

7 “Na sasa utamwambia Daudi mtumishi wangu hivi, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Mimi mwenyewe nilikuchukua kutoka katika viwanja vya malisho ili uache kufuata kundi+ na uwe kiongozi+ juu ya watu wangu Israeli. 8 Nami nitakuwa pamoja nawe popote utakapotembea,+ nami nitawakatilia mbali adui+ zako wote kutoka mbele yako, nami hakika nitakufanyia jina+ kama jina la wakuu walio duniani.+ 9 Nami hakika nitachagua mahali kwa ajili ya watu wangu Israeli na kuwapanda,+ nao hakika watakaa mahali walipo, nao hawatasumbuliwa tena; na wana wa ukosefu wa uadilifu+ hawatawachosha tena kama walivyofanya hapo mwanzoni,+ 10 tangu zile siku nilipoweka waamuzi+ wawasimamie watu wangu Israeli. Nami hakika nitawatiisha adui zako wote.+ Nami ninakuambia, ‘Pia Yehova atakujengea nyumba.’+

11 “‘“Na itakuwa kwamba siku zako zitakapokuwa zimetimia ili uende kuwa na mababu zako,+ mimi nitainua uzao wako baada yako ambao utakuwa mmoja wa wana wako,+ nami kwa kweli nitaufanya imara ufalme wake.+ 12 Yeye ndiye atakayenijengea nyumba,+ nami hakika nitakifanya imara kiti chake cha ufalme mpaka wakati usio na kipimo.+ 13 Mimi mwenyewe nitakuwa baba yake,+ na yeye mwenyewe atakuwa mwanangu;+ na fadhili zangu zenye upendo sitaziondoa kwake+ kama vile nilivyoziondoa kwa yule aliyekutangulia.+ 14 Nami nitamsimamisha katika nyumba+ yangu na katika ufalme+ wangu mpaka wakati usio na kipimo, na kiti chake cha ufalme+ kitadumu mpaka wakati usio na kipimo.”’”

15 Basi Nathani akamwambia Daudi kulingana na maneno hayo yote na kulingana na maono hayo yote.+

16 Kisha Mfalme Daudi akaingia ndani, akaketi mbele za Yehova+ na kusema: “Mimi ni nani,+ Ee Yehova Mungu, na nyumba yangu+ ni nini hata ukanileta kufikia hapa?+ 17 Kana kwamba hili ni jambo dogo machoni pako,+ Ee Mungu,+ na bado unasema habari za nyumba ya mtumishi wako mpaka wakati mrefu ujao,+ na umeniangalia kulingana na hali ya mtu anayepanda cheo,+ Ee Yehova, Mungu. 18 Daudi anaweza kukuambia nini zaidi kwa habari ya kumheshimu mtumishi wako,+ kwa kuwa wewe mwenyewe unamjua vema mtumishi wako?+ 19 Ee Yehova, kwa ajili ya mtumishi wako na kwa kupatana na moyo wako mwenyewe+ umeyafanya mambo haya yote makuu kwa kujulisha juu ya mafanikio makuu yote.+ 20 Ee Yehova, hakuna mwingine kama wewe,+ wala hakuna Mungu ila wewe+ kwa habari ya yote ambayo tumeyasikia kwa masikio yetu. 21 Na kuna taifa gani lingine duniani lililo kama watu wako Israeli,+ ambao Mungu wa kweli alikwenda kujikombolea mwenyewe wawe kikundi cha watu,+ ili kujipa jina la mafanikio makubwa+ na mambo yenye kuogopesha kwa kuyafukuza mataifa+ kutoka mbele ya watu wako ambao umewakomboa kutoka Misri? 22 Nawe ukawafanya watu wako Israeli kuwa watu wako+ mpaka wakati usio na kipimo, na wewe mwenyewe, Ee Yehova, ukawa Mungu wao.+ 23 Na sasa, Ee Yehova, lile neno ambalo umesema kumhusu mtumishi wako na kuihusu nyumba yake na liwe la kuaminika mpaka wakati usio na kipimo, na ufanye kama ulivyosema. 24 Jina+ lako na liwe la kuaminika na liwe kuu+ mpaka wakati usio na kipimo, kusema, ‘Yehova wa majeshi,+ Mungu wa Israeli,+ ni Mungu wa Israeli,’+ na acha nyumba ya Daudi mtumishi wako idumu mbele zako.+ 25 Kwa maana wewe mwenyewe, Mungu wangu, umemfunulia mtumishi wako kusudi la kumjengea nyumba.+ Ndiyo sababu mtumishi wako amepata nafasi ya kusali mbele zako. 26 Na sasa, Ee Yehova, wewe ndiye Mungu wa kweli,+ nawe unaahidi wema huu kuhusu mtumishi wako.+ 27 Na sasa ujichukulie wajibu na kuibariki nyumba ya mtumishi wako ili iendelee mpaka wakati usio na kipimo mbele zako;+ kwa maana wewe mwenyewe, Ee Yehova, umebariki, nayo imebarikiwa mpaka wakati usio na kipimo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki