2 Samweli 7:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa ajili ya neno lako+ na kupatana na moyo wako mwenyewe,+ wewe umefanya mambo haya yote makuu ili umjulishe mtumishi wako.+ Zaburi 135:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kila kitu ambacho Yehova alipendezwa kufanya, amefanya+Mbinguni na duniani, baharini na katika vilindi vyote vya maji.+
21 Kwa ajili ya neno lako+ na kupatana na moyo wako mwenyewe,+ wewe umefanya mambo haya yote makuu ili umjulishe mtumishi wako.+
6 Kila kitu ambacho Yehova alipendezwa kufanya, amefanya+Mbinguni na duniani, baharini na katika vilindi vyote vya maji.+