Zaburi 25:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+Pia agano lake, ili kuwafanya walijue.+ Amosi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+
14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+Pia agano lake, ili kuwafanya walijue.+
7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+