Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Baada ya hapo Mungu akamwambia Noa: “Mwisho wa wote wenye mwili umekuja mbele zangu,+ kwa maana dunia imejaa jeuri kwa sababu yao; na tazama mimi ninawaharibu pamoja na dunia.+

  • Mwanzo 18:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye Yehova akasema: “Je, nimfiche Abrahamu jambo ninalofanya?+

  • 1 Wafalme 22:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na sasa tazama, Yehova ametia roho ya udanganyifu katika vinywa vya hawa manabii wako wote;+ lakini Yehova mwenyewe ametangaza msiba juu yako.”+

  • 2 Wafalme 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa maana Yehova amesema hivi: “Ninyi hamtaona upepo, wala kuona mvua kubwa; ingawa hivyo, lile bonde la mto litajazwa maji,+ nanyi mtakunywa kutoka ndani yake,+ ninyi na mifugo yenu na wanyama wenu wa kufugwa.”’

  • 2 Wafalme 22:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Ndiyo sababu tazama, nitakukusanya+ wewe kwa mababu zako, nawe hakika utakusanywa kwenye uwanja wa kaburi lako kwa amani,+ na macho yako hayatauona msiba wote ninaouleta juu ya mahali hapa.”’” Nao wakamletea mfalme jibu lile.

  • Zaburi 25:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+

      Pia agano lake, ili kuwafanya walijue.+

  • Isaya 42:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Mambo ya kwanza—tazama, yamekuja,+ lakini ninayatangaza mambo mapya. Kabla hayajaanza kutokea, mimi huwafanya ninyi myasikie.”+

  • Danieli 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Naye akanifanya nielewe na kusema nami hivi:

      “Ee Danieli, sasa nimekuja kukufanya upate ufahamu kwa kuelewa.+

  • Danieli 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na sasa nitakuambia yaliyo kweli:+

      “Tazama! Bado kutakuwa na wafalme watatu wenye kusimama kwa ajili ya Uajemi,+ na yule wa nne+ atakusanya utajiri mwingi kuliko wengine wote.+ Na mara tu atakapopata nguvu katika utajiri wake, ataamsha kila kitu kupigana na ufalme wa Ugiriki.+

  • Yohana 15:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Siwaiti ninyi tena watumwa, kwa sababu mtumwa hajui yale ambayo bwana wake anafanya. Lakini nimewaita ninyi rafiki,+ kwa sababu mambo yote ambayo nimeyasikia kutoka kwa Baba yangu nimewajulisha ninyi.+

  • Ufunuo 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Ufunuo+ kupitia Yesu Kristo, ambao Mungu alimpa,+ kuwaonyesha watumwa+ wake mambo ambayo lazima yatendeke upesi.+ Naye alimtuma malaika+ wake na kupitia yeye akautoa kwa njia ya ishara+ kwa mtumwa wake Yohana,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki