Isaya 41:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Wenye kuteseka na maskini wanatafuta maji,+ lakini hakuna yoyote. Ulimi wao umekauka+ kwa sababu ya kiu.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nitawajibu wao.+ Mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha wao.+
17 “Wenye kuteseka na maskini wanatafuta maji,+ lakini hakuna yoyote. Ulimi wao umekauka+ kwa sababu ya kiu.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nitawajibu wao.+ Mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha wao.+