Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 63:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, ninaendelea kukutafuta.+

      Nafsi yangu ina kiu kwa ajili yako.+

      Mwili wangu umezimia kwa kukutamani wewe.

      Katika nchi iliyokauka na kuchoka, ambapo hakuna maji.+

  • Isaya 55:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Haya, ninyi nyote mlio na kiu!+ Njooni kwenye maji.+ Na wale wasio na pesa! Njooni, mnunue mle.+ Ndiyo, njooni, mnunue divai+ na maziwa+ bila pesa na bila bei.+

  • Amosi 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “ ‘Tazama! Siku zinakuja,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘nami nitaleta njaa katika nchi, wala si njaa ya mkate, nami nitaleta kiu, wala si kiu ya maji, bali ya kuyasikia maneno ya Yehova.+

  • Ufunuo 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na roho+ na bibi-arusi+ huendelea kusema: “Njoo!” Na yeyote anayesikia na aseme: “Njoo!”+ Na yeyote anayeona kiu aje;+ yeyote anayetaka achukue maji ya uzima bure.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki