Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 42:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa kweli nafsi yangu ina kiu kwa ajili ya Mungu,+ kwa ajili ya Mungu aliye hai.+

      Ni wakati gani nitakapokuja nionekane mbele za Mungu?+

  • Zaburi 63:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, ninaendelea kukutafuta.+

      Nafsi yangu ina kiu kwa ajili yako.+

      Mwili wangu umezimia kwa kukutamani wewe.

      Katika nchi iliyokauka na kuchoka, ambapo hakuna maji.+

  • Amosi 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “ ‘Tazama! Siku zinakuja,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘nami nitaleta njaa katika nchi, wala si njaa ya mkate, nami nitaleta kiu, wala si kiu ya maji, bali ya kuyasikia maneno ya Yehova.+

  • Mathayo 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Wenye furaha ni wale walio na njaa na walio na kiu+ kwa ajili ya uadilifu, kwa kuwa watashibishwa.+

  • Ufunuo 21:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akaniambia: “Yamekuwa! Mimi ndiye Alfa na Omega, mwanzo na mwisho.+ Kwa yeyote aliye na kiu mimi nitampa maji bure kutoka kwenye chemchemi ya maji ya uzima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki