Yohana 6:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Yesu akawaambia: “Mimi ndio mkate wa uzima. Yule ambaye huja kwangu hataona njaa hata kidogo, naye anayeniamini hatapata kiu kamwe.+ Ufunuo 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hawatakuwa na njaa tena wala kuwa na kiu tena, wala jua halitawachoma wala joto lolote lenye kuunguza,+
35 Yesu akawaambia: “Mimi ndio mkate wa uzima. Yule ambaye huja kwangu hataona njaa hata kidogo, naye anayeniamini hatapata kiu kamwe.+
16 Hawatakuwa na njaa tena wala kuwa na kiu tena, wala jua halitawachoma wala joto lolote lenye kuunguza,+