Zaburi 121:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wakati wa mchana, jua halitakupiga,+Wala mwezi wakati wa usiku.+ Isaya 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hawatakuwa na njaa,+ wala kuwa na kiu,+ wala joto kali na jua halitawaunguza.+ Kwa maana Yeye anayewahurumia atawaongoza,+ naye atawaelekeza karibu na mabubujiko ya maji.+
10 Hawatakuwa na njaa,+ wala kuwa na kiu,+ wala joto kali na jua halitawaunguza.+ Kwa maana Yeye anayewahurumia atawaongoza,+ naye atawaelekeza karibu na mabubujiko ya maji.+