10 Kisha Yoshua akasema: “Kwa jambo hili mtajua kwamba Mungu aliye hai yupo katikati yenu,+ na kwamba bila shaka atawafukuzia mbali kutoka mbele yenu Wakanaani na Wahiti na Wahivi na Waperizi na Wagirgashi na Waamori na Wayebusi.+
10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+
9 Kwa maana wao wenyewe wanaendelea kutoa habari kuhusu namna tulivyoingia kwanza katikati yenu na jinsi mlivyomgeukia Mungu mkatoka kwenye sanamu+ zenu ili mmtumikie Mungu aliye hai+ na wa kweli,+