Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Kwa maana mimi nainua mkono wangu kuelekea mbinguni kwa kiapo,+

      Nami ninasema: “Kama nilivyo hai mpaka wakati usio na

      kipimo,”+

  • Yoshua 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kisha Yoshua akasema: “Kwa jambo hili mtajua kwamba Mungu aliye hai yupo katikati yenu,+ na kwamba bila shaka atawafukuzia mbali kutoka mbele yenu Wakanaani na Wahiti na Wahivi na Waperizi na Wagirgashi na Waamori na Wayebusi.+

  • Yeremia 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+

  • Mathayo 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Simoni Petro akajibu, akasema: “Wewe ndiye Kristo,+ Mwana wa Mungu aliye hai.”+

  • 1 Wathesalonike 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana wao wenyewe wanaendelea kutoa habari kuhusu namna tulivyoingia kwanza katikati yenu na jinsi mlivyomgeukia Mungu mkatoka kwenye sanamu+ zenu ili mmtumikie Mungu aliye hai+ na wa kweli,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki