Yoshua 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha Yoshua akasema: “Kwa njia hii mtajua kwamba Mungu aliye hai yumo miongoni mwenu,+ na bila shaka atawafukuza mbele yenu Wakanaani, Wahiti, Wahivi, Waperizi, Wagirgashi, Waamori, na Wayebusi.+
10 Kisha Yoshua akasema: “Kwa njia hii mtajua kwamba Mungu aliye hai yumo miongoni mwenu,+ na bila shaka atawafukuza mbele yenu Wakanaani, Wahiti, Wahivi, Waperizi, Wagirgashi, Waamori, na Wayebusi.+