Zaburi 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Acheni nirejezee agizo la Yehova;Yeye ameniambia: “Wewe ni mwanangu;+Mimi, leo, nimekuwa baba yako.+ Mathayo 14:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ndipo wale waliokuwa ndani ya mashua wakamsujudia, wakisema: “Wewe kwa kweli ni Mwana wa Mungu.”+ Matendo 9:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 naye akaanza mara moja kumhubiri Yesu+ katika masinagogi, kwamba Huyu ndiye Mwana wa Mungu. Waebrania 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 mwishoni mwa siku hizi+ amesema nasi kupitia Mwana,+ aliyemweka rasmi kuwa mrithi wa vitu vyote,+ na ambaye kupitia yeye aliifanya+ mifumo ya mambo. 1 Yohana 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeyote anayekiri kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu,+ Mungu hukaa katika muungano na mtu huyo na yeye katika muungano na Mungu.+
7 Acheni nirejezee agizo la Yehova;Yeye ameniambia: “Wewe ni mwanangu;+Mimi, leo, nimekuwa baba yako.+
2 mwishoni mwa siku hizi+ amesema nasi kupitia Mwana,+ aliyemweka rasmi kuwa mrithi wa vitu vyote,+ na ambaye kupitia yeye aliifanya+ mifumo ya mambo.
15 Yeyote anayekiri kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu,+ Mungu hukaa katika muungano na mtu huyo na yeye katika muungano na Mungu.+