7 Basi akapaita mahali hapo jina Masa+ na Meriba,+ kwa sababu ya kugombana kwa wana wa Israeli na kwa sababu ya kumjaribu Yehova,+ na kusema: “Je, Yehova yuko katikati yetu au hapana?”+
20 bali mwezi mzima, mpaka itokee kwenye mianzi ya pua zenu nayo iwe chukizo kwenu,+ kwa sababu tu mlimkataa Yehova, aliye katikati yenu, nanyi mlilia mbele zake, na kusema: “Kwa nini tumetoka Misri?”’”+