Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi akapaita mahali hapo jina Masa+ na Meriba,+ kwa sababu ya kugombana kwa wana wa Israeli na kwa sababu ya kumjaribu Yehova,+ na kusema: “Je, Yehova yuko katikati yetu au hapana?”+

  • Mambo ya Walawi 26:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na hakika mimi nitaweka maskani yangu katikati yenu,+ nayo nafsi yangu haitawachukia ninyi.+

  • Hesabu 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 bali mwezi mzima, mpaka itokee kwenye mianzi ya pua zenu nayo iwe chukizo kwenu,+ kwa sababu tu mlimkataa Yehova, aliye katikati yenu, nanyi mlilia mbele zake, na kusema: “Kwa nini tumetoka Misri?”’”+

  • Kumbukumbu la Torati 7:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Usishtuke kwa sababu yao, kwa maana Yehova Mungu wako yuko katikati yako,+ Mungu mkuu na mwenye kuogopesha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki